Indirimbo ya 111 mu NYIMBO ZA WOKOVU
1
E’ Yesu, sitausahau uchungu wako kubwa, ulipoteswa Gethsemane usiku peke yako.
Mateso uliyoyaona, uchungu na machozi, Usiku ule Gethsemane, Siyasahau kamwe.
2
Naona wewe Gethsemane, ulivyoteswa huko kwa ‘jili ya makosa yangu, na kuitoa damu.
3
Huzuni nyingi uliona katika teso lako ulipoachwa peke yako na wanafunzi wako.
4
Na ukiona roho yangu haina pendo kwako, uniongoze Gethsemane, nione teso lako!