Indirimbo ya 203 mu NYIMBO ZA WOKOVU

1
Hatua moja kati ya wewe na Mwokozi. Wakawilia nini? Ufike kwake leo!
Hatua moja, hatua moja, njoo akungoja! Njoo kutubu dhambi, atasamehe zote! Usikatae tena wokovu wake Mungu!
2
Hatua moja mbele, anakungoja sasa. Amini neno lake, na utapata raha!
3
Hatua moja mbele, uzima uta’ona. Siku si nyingi huku, ‘jitoe kwake Mungu!
4
Hatua moja mbele, kwa nini kukawia? Omba: E’ Bwana Yesu, unipokee sasa!



Uri kuririmba: Indirimbo ya 203 mu Nyimbo za wokovu