Indirimbo ya 218 mu NYIMBO ZA WOKOVU
1
Mtoto mimi ni maskini, lakini nafurahi kwa kuwa Baba yangu mwema ananitunza vema.
2
Babangu anipenda sana, anionyesha njia. Upendo wake unapita uzuri wa dunia.
3
Katika shida na huzuni naimba kwa furaha: “Nina makimbilio yangu kwa Mungu Baba yangu”