Indirimbo ya 24 mu NYIMBO ZA WOKOVU
1
E’ Mungu mwenye kweli, nakuamini sana, maneno yako yote milele yatadumu. « Niite kati’shida, nitakusaidia». Nategemea, Bwana, ahadi yako hiyo.
2
Na katika uchungu ni heri kuamini, naweka roho yangu kulindwa nawe, Baba, ulieyenifundisha kuita jina lako; naona tumaini nategemeo kwako!
3
Ninavyoomba kweli, najua wasikia. Yaliyo mema kwangu, najua wayafanya. Katika shida kali waweza kunilinda; wanichukua mimi na masumbuko yangu.