Indirimbo ya 246 mu NYIMBO ZA WOKOVU

1
Heshima na sifa zina Baba mbinguni, aliyetupenda zamani na sasa!
Haleluya, usifiwe! Haleluya, amina. Haleluya, usifiwa! Haleluya, amina.
2
Heshima na sifa zina Yesu Mwokozi, alitufilia kwa’jili ya dhambi!
3
Heshima na sifa zina Roho wa kweli, anashuhudia Mwokozi na damu!



Uri kuririmba: Indirimbo ya 246 mu Nyimbo za wokovu