Indirimbo ya 279 mu NYIMBO ZA WOKOVU
1
Upendo wake Mungu unatuunganisha. ‘Shirika wa watakatifu – uheri wa mbinguni.
2
Katika sala zetu twakaribia Baba kwa tumaini, ujasiri na kwa imani moja.
3
Upendo wa kikristo ha’vunji urafiki. Twalia naye kwa uchungu, furaha twa’shiriki.
4
Tunaachana huku kwa sikitiko sana. Kwa shangwe tena kwake Mungu twaweza kuonana.