Indirimbo ya 13 mu NYIMBO ZA WOKOVU

1
Nani aweza kuniweka huru? Ni Yesu Mwokozi, Yesu Mwokozi. Nguvu ‘kushinda nipate kwa nani? Kwa damu ya Yesu Mwokozi.
Kuna nguvu, nguvu ya ajabu kuu, Kati’damu ya Mwokozi! Kuna nguvu, nguvu ya ajabu kuu, kati’ damu yake Yesu.
2
Nitawezaje kuvunja tamaa? Kwa damu ya Yesu, damu ya Yesu! Nikaribie kisima cha ‘hai, kisima cha damu ya Yesu!
3
Nitawezaje kuoshwa moyoni? Kwa damu ya Yesu, damu ya Yesu! Nitakasike katika kisima, kisima cha damu ya Yesu!
4
Nitawezaje kutenda vizuri? Kwa nguvu ya Yesu, nguvu ya Yesu! Nitawezaje kufika mbinguni? Kwa nguvu ya damu ya Yesu!



Uri kuririmba: Indirimbo ya 13 mu Nyimbo za wokovu