Indirimbo ya 285 mu NYIMBO ZA WOKOVU

1
Neno la Mungu ndani ya Biblia limetolewa na Mwenyezi Mungu. Biblia yetu inatuambia: Njoo kwa Yesu, Mkombozi wetu!
Neno la Mungu tulilolipewa, njia ya mbingu limetuonyesha; nuru gizani ya kutuongoza katika mwendo wetu kwenda mbinguni.
2
Siku za giza zinakaribia, kama walivyosema manabii. Biblia yetu itatuangaza na kutuonya njia hata mwisho.
3
Katika neno la Biblia yetu tunaupata utajiri wote. Mbingu na nchi zitaangamia, neno la Mungu litashinda yote.



Uri kuririmba: Indirimbo ya 285 mu Nyimbo za wokovu