Indirimbo ya 15 mu NYIMBO ZA WOKOVU

1
Mungu, unitume moto wako sasa, Ninangoja nguvu yako! Nipe na uzima na upendo wako, unijaze, e’ Mwokozi wangu!
2
Teketeza yote usiyoyapenda, nisafishe kati’ damu! Na kiburi changu ukivunje tena, unioshe, Yesu, niwe safi!
3
Unilinde, Yesu, sikuasi tena, unifunge kwa upendo! Mimi ni dhaifu, unitunze kwako, ‘niongoze kwa mkono wako!
4
Huko juu kwako tutaona raha, na huzuni itakwisha. Nyimbo za shukrani zitajaza mbingu: utukuzwe Yesu Mkombozi.



Uri kuririmba: Indirimbo ya 15 mu Nyimbo za wokovu