Indirimbo ya 163 mu NYIMBO ZA WOKOVU

1
Ahadi zote za Mungu zinasimama kweli, na zilitiwa muhuri kwa damu yake Yesu.
Mbingu zikiondoka, nchi ikitoweka, ‘aminiye ‘taona: Ahadi zinadumu.
2
Fanya kama Ibrahimu: Uangalie juu! Nyota ukizihesabu, imani itaota.
3
Katika giza njiani tutaamini tu. Muda kitambo, na tena jua litaangaa.
4
Watu wakitusumbua, tutaamini tu. Yesu atusaidia majaribuni pote.
5
Rafiki wakituacha, tutaamini tu. Yesu, rafiki mkubwa, atabaki daima.
6
Katika mambo yo yote tutaamini tu. Tutaviona mbinguni tulivyoviamini.



Uri kuririmba: Indirimbo ya 163 mu Nyimbo za wokovu