Indirimbo ya 8 mu NYIMBO ZA WOKOVU

1
Yesu Kristo asifiwe! Alizichukua dhambi, ne’ma inatoka kwake kati’ damu. Umeosha moyo wako, umekuwa safi, huru umeondolewa dhambi kati’ damu?
:/: Kati’ damu:/: umeosha moyo wako, umekuwa safi, huru? :/: Kati’ damu:/: umeondolewa dhambi kati’ damu?
2
Ukilia, ukijuta, dhambi hazitoki kwamwe; haki kweli uta’pata kati damu. Mambo yakusumbuayo Yesu a’ondoa mara, unapata ukombozi kati’ damu.
3
Yesu atakuchukua arusini mwake huko. Umevikwa nguo safi kati’ damu? Je, wajenga ju’ ya mwamba, moyo wako u mzima, unashinda kila saa kati’ damu?
4
Bwana Yesu asifiwe! Alitoa damu yake, na kwa damu ya thamani tutashinda. Asubuhi kubwa ile vita itakapokwisha, tutaimba kwa furaha ju’ ya damu.



Uri kuririmba: Indirimbo ya 8 mu Nyimbo za wokovu