Indirimbo ya 4 mu NYIMBO ZA WOKOVU

1
Usiku kabla yakuteswa, Yesu Alikusanya wanafunzi wake; Alifahamu kwamba saa yake Yakutolewa ilikaribia.
2
Kwa roho aliona Gethsemane, Maneno yake na huzuni nyingi; Zaidi aliofu saa ile, ata’poachwa hata naye Mungu.
3
Alitamani saa ya pasaka Pamoja na wapendwa wake huku. Katika pendo lake kubwa sana Aliyashinda majaribu yote.
4
Akautwa’ mkate aka’mega, ‘Twaeni, mle, huu ni mwili wangu! Na akawapa wanafunzi wake. Wa heri kila mtu ‘aminiye.
5
Ba’daye akawapa na kikombe, Na akasema: «Nyweni nyote hiki! Ni damu yangu inayo mwangika Kwa ondoleo la makosa yote.



Uri kuririmba: Indirimbo ya 4 mu Nyimbo za wokovu