Indirimbo ya 180 mu NYIMBO ZA WOKOVU

1
Bwana Yesu anatuuliza: “Nimtume nani mavunoni? Watu wenye dhambi wapotea, watolee Neno la neema! “
“Mungu wangu, sema nami! Uniguze sasa kwa makaa! Mungu wangu, sema nami! Mimi hapa, unitume sasa!”
2
Mtumishi wake Bwana Mungu alisema: “Mimi sistahili”. Aliposikia moto safi, akasema: “Unitume mimi”!
3
Mataifa mengi wanakufa, hawajui Yesu na wokovu.Twende kwao mbio, tuhubiri neno la wokovu wake Yesu!
4
Siku za mavuno zitapita, watumishi watarudi kwao. Bwana wao atawapokea na kusema: “Ulifanya vema”!



Uri kuririmba: Indirimbo ya 180 mu Nyimbo za wokovu