Indirimbo ya 324 mu NYIMBO ZA WOKOVU

1
Bwana Yesu atashuka mbingu na sauti za wamalaika.
:/:(Lakini wewe) mwovu, ujue kama utaenda wapi. Itakuwa furaha kubwa, kwa wale wataenda na Mwokozi. :/:
:/: (Itakuwa furaha) itakuwa furaha kubwa, kwa wale wataenda na Mwokozi.:/:
2
:/: Waliokufa katika Bwana, wao watafufuliwa kwanza:/:
3
:/: Na kisha sisi tulio hai tutanyakuliwa mbinguni. :/:
4
:/: Nayo furaha ya wenye dhambi itageuka kuwa uchungu.:/:
5
:/: Nayo huzuni ya wenye haki itageuka kuwa furaha.:/:



Uri kuririmba: Indirimbo ya 324 mu Nyimbo za wokovu